Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+

      Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+

      Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.

  • Ezekieli 43:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hii ndiyo sheria ya Nyumba hiyo. Juu ya mlima eneo lake lote kuzunguka pande zote ni kitu kitakatifu zaidi.+ Tazama! Hii ndiyo sheria ya Nyumba hiyo.

  • Marko 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa wakafika Yerusalemu. Huko akaingia katika hekalu akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza na kununua katika hekalu, naye akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadili pesa na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa;+

  • 1 Petro 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu imeandikwa: “Muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki