2 Katika maono ya Mungu alinileta katika nchi ya Israeli na hatua kwa hatua akaniweka juu ya mlima mrefu sana,+ ambao juu yake palikuwa na kitu kama muundo wa jiji kuelekea kusini.+
20 Akazipima zile pande nne. Kulikuwa na ukuta kuzunguka pande zote,+ wenye urefu wa tete mia tano na upana wa tete mia tano,+ ili kutenganisha kilicho kitakatifu na kilicho najisi.+