Ezekieli 42:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Akapima pande nne za eneo hilo. Lilikuwa na ukuta uliolizunguka pande zote+ uliokuwa na urefu wa tete 500 na upana wa tete 500,+ ili kutenganisha kitu kitakatifu na kitu cha matumizi ya kawaida.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 42:20 Ufahamu, Ibada Safi, kur. 149-150, 152, 156 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, kur. 26-27
20 Akapima pande nne za eneo hilo. Lilikuwa na ukuta uliolizunguka pande zote+ uliokuwa na urefu wa tete 500 na upana wa tete 500,+ ili kutenganisha kitu kitakatifu na kitu cha matumizi ya kawaida.+