Ezekieli 42:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Akazipima zile pande nne. Kulikuwa na ukuta kuzunguka pande zote,+ wenye urefu wa tete mia tano na upana wa tete mia tano,+ ili kutenganisha kilicho kitakatifu na kilicho najisi.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 42:20 Ufahamu, Ibada Safi, kur. 149-150, 152, 156 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, kur. 26-27
20 Akazipima zile pande nne. Kulikuwa na ukuta kuzunguka pande zote,+ wenye urefu wa tete mia tano na upana wa tete mia tano,+ ili kutenganisha kilicho kitakatifu na kilicho najisi.+