-
Ezekieli 45:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
45 “‘Mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mnapaswa kumtolea Yehova sehemu takatifu ya nchi kuwa mchango.+ Inapaswa kuwa na urefu wa mikono 25,000,* na upana wa mikono 10,000.+ Eneo hilo lote litakuwa* sehemu takatifu. 2 Ndani yake kutakuwa na eneo la mraba la mahali patakatifu lenye urefu wa mikono 500 na upana wa mikono 500,*+ na kila upande litakuwa na malisho yenye kipimo cha mikono 50.+
-