Ezekieli 42:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Akapima pande nne za eneo hilo. Lilikuwa na ukuta uliolizunguka pande zote+ uliokuwa na urefu wa tete 500 na upana wa tete 500,+ ili kutenganisha kitu kitakatifu na kitu cha matumizi ya kawaida.+
20 Akapima pande nne za eneo hilo. Lilikuwa na ukuta uliolizunguka pande zote+ uliokuwa na urefu wa tete 500 na upana wa tete 500,+ ili kutenganisha kitu kitakatifu na kitu cha matumizi ya kawaida.+