21 Viongozi wa koo za Walawi wakaenda kwa kuhani Eleazari+ na Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa koo za makabila ya Israeli, 2 wakawaambia hivi huko Shilo+ katika nchi ya Kanaani: “Yehova aliamuru kupitia Musa tupewe majiji ya kuishi na malisho ya mifugo yetu.”+