Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akaleta madhabahu ya shaba+ iliyokuwa mbele za Yehova kutoka mbele ya nyumba, kutoka katikati ya madhabahu yake na nyumba ya Yehova,+ na kuiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Zaidi ya hayo, Ahazi akavikusanya vyombo+ vya nyumba ya Mungu wa kweli na kuvikata vipande-vipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango+ ya nyumba ya Yehova, akajitengenezea madhabahu katika kila pembe katika Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akajenga madhabahu+ katika nyumba ya Yehova, ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Jina langu litakuwa katika Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Zaidi ya hayo, akaweka sanamu ya kuchongwa+ aliyokuwa ametengeneza katika nyumba ya Mungu wa kweli,+ ambayo Mungu alikuwa amemwambia Daudi na Sulemani mwana wake hivi kuihusu: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambalo nimelichagua+ kutoka katika makabila yote ya Israeli, nitaliweka jina langu+ mpaka wakati usio na kipimo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kama alivyofanya Manase baba yake;+ na Amoni akatoa dhabihu+ kwa sanamu zote za kuchongwa+ ambazo Manase+ baba yake alikuwa ametengeneza, naye akaendelea kuzitumikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki