Kutoka 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Musa akamwambia baba-mkwe wake: “Kwa sababu watu huendelea kunijia ili kuuliza habari kutoka kwa Mungu.+ 1 Samweli 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 (Nyakati za kale katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi akienda kumtafuta Mungu: “Haya njooni, na twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana nabii wa leo alikuwa akiitwa mwonaji nyakati za kale.) 1 Wafalme 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini Yehoshafati akasema: “Je, hayupo hapa tena nabii wa Yehova? Basi na tuulize kupitia yeye.”+
15 Ndipo Musa akamwambia baba-mkwe wake: “Kwa sababu watu huendelea kunijia ili kuuliza habari kutoka kwa Mungu.+
9 (Nyakati za kale katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi akienda kumtafuta Mungu: “Haya njooni, na twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana nabii wa leo alikuwa akiitwa mwonaji nyakati za kale.)