Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wakaanza kumwambia Musa: “Wewe sema nasi, nasi tusikie; lakini Mungu asiseme nasi tusije tukafa.”+

  • Hesabu 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mimi husema naye kinywa kwa kinywa,+ na hivyo kumwonyesha, wala si kwa vitendawili;+ naye huona sura ya Yehova.+ Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema juu ya mtumishi wangu, juu ya Musa?”+

  • Hesabu 27:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo Musa akaiweka kesi yao mbele za Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki