Kutoka 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Musa akamwambia baba-mkwe wake: “Kwa sababu watu huendelea kunijia ili kuuliza habari kutoka kwa Mungu.+ Kutoka 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye Yehova akasema na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anavyosema na mwenzake. Aliporudi kambini, mhudumu wake+ Yoshua, mwana wa Nuni,+ akiwa mtumishi, hakuwa akiondoka katikati ya hema. Mambo ya Walawi 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakamtia kifungoni+ mpaka kuwe na tangazo lililo wazi kulingana na neno la Yehova.+
15 Ndipo Musa akamwambia baba-mkwe wake: “Kwa sababu watu huendelea kunijia ili kuuliza habari kutoka kwa Mungu.+
11 Naye Yehova akasema na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anavyosema na mwenzake. Aliporudi kambini, mhudumu wake+ Yoshua, mwana wa Nuni,+ akiwa mtumishi, hakuwa akiondoka katikati ya hema.