Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kulingana na yote uliyomwomba Yehova Mungu wako huko Horebu katika ile siku ya kutaniko,+ na kusema ‘Usiache nisikie tena sauti ya Yehova Mungu wangu, na huu moto mkubwa usiache niuone tena, nisije nikafa.’+

  • Matendo 7:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.

  • Wagalatia 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki