Kutoka 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Musa akawatoa watu nje ya kambi ili wakutane na Mungu wa kweli, nao wakasimama kwenye sehemu ya chini ya mlima.+ Kumbukumbu la Torati 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kisha Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu;+ na maneno yote ambayo Yehova alikuwa amesema nanyi katika mlima kutoka katikati ya moto katika siku ya kutaniko, yalikuwa juu yake.+
17 Basi Musa akawatoa watu nje ya kambi ili wakutane na Mungu wa kweli, nao wakasimama kwenye sehemu ya chini ya mlima.+
10 kisha Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu;+ na maneno yote ambayo Yehova alikuwa amesema nanyi katika mlima kutoka katikati ya moto katika siku ya kutaniko, yalikuwa juu yake.+