2 Mambo ya Nyakati 31:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Waliendelea kuleta kwa uaminifu michango, sehemu za kumi,+ na vitu vitakatifu; na Mlawi aliyeitwa Konania aliwekwa kuwa msimamizi wa vitu hivyo vyote, na Shimei ndugu yake alikuwa wa pili.
12 Waliendelea kuleta kwa uaminifu michango, sehemu za kumi,+ na vitu vitakatifu; na Mlawi aliyeitwa Konania aliwekwa kuwa msimamizi wa vitu hivyo vyote, na Shimei ndugu yake alikuwa wa pili.