19 na pia wazao wa Haruni, makuhani walioishi katika mashamba yenye malisho ambayo yalizunguka majiji yao.+ Katika majiji yote, wanaume walikuwa wamechaguliwa na kutajwa majina ili wampe mafungu kila mwanamume kuhani na kila mtu aliyeandikishwa katika orodha ya koo za Walawi.