2 Mambo ya Nyakati 31:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Edeni, Miniamini, Yeshua, Shemaya, Amaria, na Shekania walikuwa chini ya usimamizi wake katika majiji ya makuhani,+ katika wadhifa wao wa kuaminiwa, ili wawagawie ndugu zao kwa usawa katika vikundi,+ wakubwa kwa wadogo.
15 Na Edeni, Miniamini, Yeshua, Shemaya, Amaria, na Shekania walikuwa chini ya usimamizi wake katika majiji ya makuhani,+ katika wadhifa wao wa kuaminiwa, ili wawagawie ndugu zao kwa usawa katika vikundi,+ wakubwa kwa wadogo.