2 Samweli 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi. 2 Mambo ya Nyakati 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama.+
18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi.
3 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama.+