Mambo ya Walawi 27:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Na kila sehemu ya kumi+ ya nchi, kutoka katika mbegu ya nchi na tunda la mti, ni ya Yehova. Ni kitu kitakatifu kwa Yehova. Kumbukumbu la Torati 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Mwishoni mwa miaka mitatu utatoa sehemu yote ya kumi ya mazao yako ya mwaka huo,+ nawe utaiweka ndani ya malango yako.
30 “‘Na kila sehemu ya kumi+ ya nchi, kutoka katika mbegu ya nchi na tunda la mti, ni ya Yehova. Ni kitu kitakatifu kwa Yehova.
28 “Mwishoni mwa miaka mitatu utatoa sehemu yote ya kumi ya mazao yako ya mwaka huo,+ nawe utaiweka ndani ya malango yako.