6 Na wana wa Israeli na wa Yuda waliokuwa wakikaa katika majiji ya Yuda,+ wao wenyewe wakaleta sehemu ya kumi ya ng’ombe na kondoo na sehemu ya kumi ya vitu vitakatifu,+ vitu vilivyotakaswa kwa Yehova Mungu wao. Wakaleta, nao wakatoa mafungu juu ya mafungu.