6 Na watu wa Israeli na wa Yuda waliokuwa wakiishi katika majiji ya Yuda walileta pia sehemu ya kumi ya ng’ombe na kondoo na sehemu ya kumi ya vitu vitakatifu+ vilivyotakaswa kwa ajili ya Yehova Mungu wao. Walivileta na kuvipanga katika marundo mengi.