Ezra 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na abarikiwe Yehova Mungu wa mababu zetu,+ ambaye ameweka jambo hili katika moyo+ wa mfalme, kuirembesha+ nyumba ya Yehova, iliyoko Yerusalemu!
27 Na abarikiwe Yehova Mungu wa mababu zetu,+ ambaye ameweka jambo hili katika moyo+ wa mfalme, kuirembesha+ nyumba ya Yehova, iliyoko Yerusalemu!