22 Wote waliochaguliwa kuwa watunza-malango kwenye milango walikuwa mia mbili kumi na wawili. Walikuwa katika makao+ yao kulingana na maandikisho yao ya kiukoo.+ Daudi+ na Samweli mwonaji+ waliwaagiza hao rasmi katika vyeo vyao vya kutegemewa.+
15 Na chini yake palikuwa na Edeni na Miniamini na Yeshua na Shemaya, Amaria na Shekania, katika majiji ya makuhani,+ katika vyeo vyenye kutegemeka,+ ili kuwapa ndugu zao katika migawanyo,+ wakubwa na wadogo kwa kiwango sawasawa;+