2 Mambo ya Nyakati 31:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Makuhani waliandikishwa katika orodha ya koo kulingana na ukoo wao,*+ kama walivyoandikishwa Walawi waliokuwa na umri wa miaka 20 na zaidi,+ kulingana na majukumu ya vikundi vyao.+
17 Makuhani waliandikishwa katika orodha ya koo kulingana na ukoo wao,*+ kama walivyoandikishwa Walawi waliokuwa na umri wa miaka 20 na zaidi,+ kulingana na majukumu ya vikundi vyao.+