Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 4:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mnapaswa kuwahesabu wana wa Kohathi+ miongoni mwa wana wa Lawi, kulingana na familia zao na koo zao,* 3 wote wenye umri wa miaka 30+ hadi 50+ walio katika kikundi kilichogawiwa kutumikia katika hema la mkutano.+

  • Hesabu 8:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Jambo hili linawahusu Walawi: Mwanamume mwenye umri wa miaka 25 na zaidi atajiunga na wale wanaotumikia katika hema la mkutano.

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hao ndio waliokuwa wana wa Lawi kulingana na koo zao,* viongozi wa koo zao,* wale walioandikishwa na kuhesabiwa na kuorodheshwa kulingana na majina yao na ambao walitekeleza kazi ya utumishi wa nyumba ya Yehova, kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki