Hesabu 8:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini baada ya umri wa miaka 50 atastaafu, hataendelea na utumishi huo. 26 Anaweza kuwasaidia ndugu zake wanaotumikia katika hema la mkutano, lakini hapaswi kupewa kazi humo. Hivyo ndivyo utakavyofanya kuhusu Walawi na majukumu yao.”+
25 Lakini baada ya umri wa miaka 50 atastaafu, hataendelea na utumishi huo. 26 Anaweza kuwasaidia ndugu zake wanaotumikia katika hema la mkutano, lakini hapaswi kupewa kazi humo. Hivyo ndivyo utakavyofanya kuhusu Walawi na majukumu yao.”+