Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 1:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Walawi wanapaswa kupiga kambi kuzunguka hema la Ushahidi, ili hasira yangu isiwawakie Waisraeli;+ na lazima Walawi wawajibike kulitunza* hema la Ushahidi.”+

  • Hesabu 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kiongozi wa wakuu wa Walawi alikuwa Eleazari+ mwana wa kuhani Haruni, naye aliwasimamia wale waliokuwa na majukumu ya kufanya kazi mahali patakatifu.

  • Hesabu 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Watajiunga nawe na kutimiza majukumu yao kuhusiana na hema la mkutano na utumishi wote katika hema hilo, na mtu yeyote asiye na idhini* hapaswi kuwakaribia ninyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki