51 Wakati wowote hema hilo linapohamishwa, Walawi ndio wanaopaswa kulifungua;+ na wakati linaposimamishwa, Walawi ndio wanaopaswa kulisimamisha; na mtu yeyote asiye na idhini* akilikaribia anapaswa kuuawa.+
10 Unapaswa kumweka rasmi Haruni na wanawe ili watekeleze majukumu yao ya ukuhani,+ na mtu yeyote asiye na idhini* atakayekaribia mahali patakatifu anapaswa kuuawa.”+