Hesabu 1:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Na wakati maskani hiyo inapoondoka, Walawi wataishusha; na wakati maskani hiyo inapopiga kambi,+ Walawi wataisimamisha; na mgeni yeyote anayekaribia anapaswa kuuawa.+
51 Na wakati maskani hiyo inapoondoka, Walawi wataishusha; na wakati maskani hiyo inapopiga kambi,+ Walawi wataisimamisha; na mgeni yeyote anayekaribia anapaswa kuuawa.+