Hesabu 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hema la ibada lilipofunguliwa,+ wana wa Gershoni+ na wana wa Merari,+ waliobeba hema hilo, walianza safari. Hesabu 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Wakohathi, waliobeba vyombo vya mahali patakatifu,+ wakaondoka. Hema la ibada lilipaswa kusimamishwa kabla hawajafika.
17 Hema la ibada lilipofunguliwa,+ wana wa Gershoni+ na wana wa Merari,+ waliobeba hema hilo, walianza safari.
21 Kisha Wakohathi, waliobeba vyombo vya mahali patakatifu,+ wakaondoka. Hema la ibada lilipaswa kusimamishwa kabla hawajafika.