Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mkuu wa ukoo* wa familia za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.+ 31 Majukumu yao yalikuwa kutunza Sanduku la Agano,+ meza,+ kinara cha taa,+ madhabahu,+ vyombo+ vilivyotumiwa katika utumishi wa mahali patakatifu, pazia,+ na utumishi wote uliohusiana na vitu hivyo.+

  • Hesabu 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ni lazima Haruni na wanawe wamalize kufunika mahali patakatifu+ na vyombo vyote vya mahali patakatifu kabla ya watu kuanza safari. Kisha wana wa Kohathi watakuja kuvibeba,+ lakini hawapaswi kugusa vitu vitakatifu, la sivyo watakufa.+ Wana wa Kohathi ndio walio na jukumu la kubeba vitu vya hema la mkutano.

  • Hesabu 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini hakuwapa chochote wana wa Kohathi kwa sababu majukumu yao yalihusisha kutumikia mahali patakatifu,+ nao walibeba vitu vitakatifu mabegani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki