Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Eleazari+ mwana wa kuhani Haruni ana jukumu la kusimamia mafuta kwa ajili ya taa,+ uvumba uliotiwa manukato,+ toleo la kawaida la nafaka, na mafuta yanayotumiwa kutia mafuta.+ Ndiye anayesimamia hema lote la ibada na vitu vyote vilivyomo, pamoja na mahali patakatifu na vyombo vyake.”

  • Hesabu 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha Musa akamvua Haruni mavazi yake na kumvisha Eleazari mwanawe. Baada ya hayo, Haruni akafa juu ya mlima huo.+ Kisha Musa na Eleazari wakateremka kutoka mlimani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki