Kutoka 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Pia, sherehe ya mavuno ya matunda ya kwanza yaliyoiva+ ya kazi zenu, ya vitu mnavyopanda shambani;+ na sherehe ya kukusanya mwishoni mwa mwaka, wakati ambapo mnakusanya kazi zenu kutoka shambani.+ Mambo ya Walawi 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Nanyi mtajihesabia toka siku inayofuata sabato, toka siku ya kuleta kwenu ule mganda wa toleo la kutikisa, sabato 7.+ Zitakuwa kamili. Yakobo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu yeye alipenda+ hilo, alituzaa sisi kwa njia ya neno la kweli,+ ili sisi tuwe sehemu fulani ya matunda ya kwanza+ ya viumbe vyake.
16 Pia, sherehe ya mavuno ya matunda ya kwanza yaliyoiva+ ya kazi zenu, ya vitu mnavyopanda shambani;+ na sherehe ya kukusanya mwishoni mwa mwaka, wakati ambapo mnakusanya kazi zenu kutoka shambani.+
15 “‘Nanyi mtajihesabia toka siku inayofuata sabato, toka siku ya kuleta kwenu ule mganda wa toleo la kutikisa, sabato 7.+ Zitakuwa kamili.
18 Kwa sababu yeye alipenda+ hilo, alituzaa sisi kwa njia ya neno la kweli,+ ili sisi tuwe sehemu fulani ya matunda ya kwanza+ ya viumbe vyake.