25 Nawe utavichukua kutoka katika mikono yao na kuvifukiza juu ya madhabahu juu ya toleo la kuteketezwa viwe harufu ya kutuliza mbele za Yehova.+ Ni toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+
12 Naye atauleta kwa kuhani, naye kuhani atachukua kipimo cha mkono mmoja uwe kumbukumbu+ lake naye ataufukiza kwenye madhabahu juu ya toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto.+ Hilo ni toleo la dhambi.+