28 Kisha Musa akavichukua kutoka mikononi mwao na kuvifukiza kwenye madhabahu juu ya lile toleo la kuteketezwa.+ Hivyo vilikuwa dhabihu ya kuweka rasmi+ kwa ajili ya harufu ya kutuliza.+ Lilikuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+
2 na endeleeni kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alivyowapenda ninyi+ na kujitoa mwenyewe kwa ajili yenu kuwa toleo+ na dhabihu kwa Mungu ili kuwa harufu tamu.+