13 Naye atayaosha matumbo+ na miguu+ kwa maji; naye kuhani atatoa vyote hivyo na kuvifukiza+ kwenye madhabahu. Ni toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+
5 Nao wana wa Haruni+ wataifukiza+ kwenye madhabahu, juu ya toleo la kuteketezwa lililo juu ya kuni+ zilizo katika moto, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza+ Yehova.