41 Nawe utamtoa yule mwana-kondoo dume wa pili kati ya zile jioni mbili. Pamoja na toleo la nafaka+ kama lile la asubuhi na pamoja na toleo la kinywaji kama lake, utamtoa awe harufu ya kutuliza, toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
9 Na matumbo+ yake na miguu yake itaoshwa kwa maji; naye kuhani atafukiza vyote hivyo kwenye madhabahu viwe toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+