Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na mmoja wao atachukua kipimo cha mkono mmoja wa huo unga laini wa toleo la nafaka na sehemu ya mafuta yake na ubani wote ulio juu ya toleo hilo la nafaka, naye ataufukiza kwenye madhabahu uwe harufu ya kutuliza ya kumbukumbu+ lake kwa Yehova.

  • Hesabu 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye kuhani atachukua sehemu ya toleo la nafaka iwe kumbukumbu+ yake naye ataifukiza juu ya madhabahu, kisha atamnywesha yule mwanamke maji hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki