9 Naye kuhani atachukua sehemu ya toleo hilo la nafaka kuwa kumbukumbu+ lake na kuifukiza kwenye madhabahu, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+
12 Naye atauleta kwa kuhani, naye kuhani atachukua kipimo cha mkono mmoja uwe kumbukumbu+ lake naye ataufukiza kwenye madhabahu juu ya toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto.+ Hilo ni toleo la dhambi.+