41 Nawe utamtoa yule mwana-kondoo dume wa pili kati ya zile jioni mbili. Pamoja na toleo la nafaka+ kama lile la asubuhi na pamoja na toleo la kinywaji kama lake, utamtoa awe harufu ya kutuliza, toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
8 Nawe utamtoa yule mwana-kondoo dume mwingine katikati ya zile jioni mbili. Pamoja na toleo lilelile la nafaka kama lile la asubuhi na pamoja na toleo lake lilelile la kinywaji utalitoa likiwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto, toleo lenye harufu ya kumtuliza Yehova.+