Mambo ya Walawi 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ataondoa kifuko cha chakula kilicho kooni mwake pamoja na manyoya yake na kuvitupa vitu hivyo kando ya madhabahu, upande wa mashariki, mahali panapowekwa majivu.*+
16 Ataondoa kifuko cha chakula kilicho kooni mwake pamoja na manyoya yake na kuvitupa vitu hivyo kando ya madhabahu, upande wa mashariki, mahali panapowekwa majivu.*+