Mambo ya Walawi 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wana wa Haruni, makuhani, watapanga vile vipande vya mnyama wa dhabihu+ pamoja na kichwa na mafuta yanayofunika figo juu ya kuni kwenye moto wa madhabahu.
8 Wana wa Haruni, makuhani, watapanga vile vipande vya mnyama wa dhabihu+ pamoja na kichwa na mafuta yanayofunika figo juu ya kuni kwenye moto wa madhabahu.