Mambo ya Walawi 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana uhai wa* kila kiumbe ni damu yake, kwa sababu uhai umo* ndani ya damu. Kwa hiyo, niliwaambia Waisraeli: “Hampaswi kula damu ya kiumbe yeyote kwa sababu uhai wa kila kiumbe umo katika damu yake. Mtu yeyote anayekula damu atauawa.”+ Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:14 Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 41 Furahia Maisha Milele!, somo la 39 Ufahamu, uku. 344 Amkeni!,7/8/1991, uku. 15
14 Kwa maana uhai wa* kila kiumbe ni damu yake, kwa sababu uhai umo* ndani ya damu. Kwa hiyo, niliwaambia Waisraeli: “Hampaswi kula damu ya kiumbe yeyote kwa sababu uhai wa kila kiumbe umo katika damu yake. Mtu yeyote anayekula damu atauawa.”+
17:14 Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 41 Furahia Maisha Milele!, somo la 39 Ufahamu, uku. 344 Amkeni!,7/8/1991, uku. 15