14 Kwa maana nafsi ya kila namna ya mwili ni damu yake kwa nafsi iliyo ndani yake. Basi niliwaambia wana wa Israeli: “Hamtakula damu ya mwili wa namna yoyote, kwa sababu nafsi ya kila mwili wa namna yoyote iko katika damu yake.+ Mtu yeyote atakayeila atakatiliwa mbali.”+