Mambo ya Walawi 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana nafsi ya mwili iko katika damu,+ nami mwenyewe nimeiweka juu ya madhabahu ili ninyi mfanye upatanisho+ kwa ajili ya nafsi zenu, kwa sababu damu+ ndiyo hufanya upatanisho+ kupitia nafsi iliyo ndani yake. Kumbukumbu la Torati 12:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ila tu uazimie kwa uthabiti usile damu,+ kwa sababu damu ndiyo nafsi+ nawe usile nafsi pamoja na nyama.
11 Kwa maana nafsi ya mwili iko katika damu,+ nami mwenyewe nimeiweka juu ya madhabahu ili ninyi mfanye upatanisho+ kwa ajili ya nafsi zenu, kwa sababu damu+ ndiyo hufanya upatanisho+ kupitia nafsi iliyo ndani yake.
23 Ila tu uazimie kwa uthabiti usile damu,+ kwa sababu damu ndiyo nafsi+ nawe usile nafsi pamoja na nyama.