Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao wakaendelea kumwita Loti na kumwambia: “Wako wapi wale wanaume ambao waliingia kwako usiku wa leo? Walete nje kwetu ili tulale nao.”+

  • Mambo ya Walawi 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Na mwanamume akilala na mwanamume sawa na vile mtu anavyolala na mwanamke, wote wawili wamefanya jambo lenye kuchukiza.+ Lazima wauawe. Damu yao wenyewe iko juu yao.

  • Waamuzi 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Walipokuwa wakichangamsha mioyo yao,+ tazama! wanaume wa jiji lile, watu wasiofaa kitu,+ wakaizunguka nyumba,+ wakisukumana mlangoni; nao wakazidi kumwambia yule mzee, mwenye nyumba: “Mtoe nje yule mwanamume aliyeingia nyumbani mwako, ili tulale naye.”+

  • Waroma 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 na vivyo hivyo pia hata wanaume waliacha matumizi ya asili ya mwanamke+ na kuwakiana tamaa kali katika uchu wao kuelekeana wao wenyewe, wanaume kwa wanaume,+ wakitenda mambo machafu+ na kupokea ndani yao wenyewe malipo kamili,+ yaliyostahili kosa lao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki