Mambo ya Walawi 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Mwanamume akilala na mwanamume mwenzake kama vile mwanamume anavyolala na mwanamke, wote wawili wamefanya jambo linalochukiza.+ Ni lazima wauawe. Watakuwa na hatia kwa sababu ya vifo vyao wenyewe.*
13 “‘Mwanamume akilala na mwanamume mwenzake kama vile mwanamume anavyolala na mwanamke, wote wawili wamefanya jambo linalochukiza.+ Ni lazima wauawe. Watakuwa na hatia kwa sababu ya vifo vyao wenyewe.*