Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao walikuwa wakimwambia Loti kwa sauti: “Wako wapi wale wanaume waliokuja kwako usiku wa leo? Walete nje kwetu ili tufanye nao ngono.”+

  • Mambo ya Walawi 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Usilale na mwanamume kama vile unavyolala na mwanamke.+ Ni tendo linalochukiza.

  • Waamuzi 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Walipokuwa wakila na kunywa, wanaume fulani wahuni katika jiji hilo wakaizingira nyumba na kuugonga mlango kwa fujo, huku wakimwambia hivi mzee huyo mwenye nyumba, “Mtoe nje yule mwanamume aliyeingia nyumbani mwako, ili tufanye ngono naye.”+

  • Waroma 1:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndiyo sababu Mungu aliwaacha katika hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ kwa maana wanawake wao walibadili matumizi yao ya asili kuwa kinyume cha asili;+ 27 vivyo hivyo pia wanaume waliacha matumizi ya asili ya* mwanamke na kuwakiana tamaa kali za uchu wao kwa wao, wanaume kwa wanaume,+ wakitenda mambo machafu na kupokea ndani yao wenyewe adhabu* kamili, kwa sababu ya kosa lao.+

  • 1 Wakorintho 6:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Au je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi Ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe.* Waasherati,*+ waabudu-sanamu,+ wazinzi,+ wanaume wanaofanya ngono na wanaume,*+ 10 wezi, watu wenye pupa,+ walevi,+ watukanaji,* na wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mungu.+

  • Yuda 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Vivyo hivyo, watu wa Sodoma na Gomora na majiji ya karibu walifanya uasherati* wa kupindukia na kufuatilia tamaa za mwili zilizo kinyume cha maumbile;+ wamewekwa mbele yetu kama onyo kwa sababu walihukumiwa adhabu ya moto wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki