Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kabla hawajalala, wanaume wa jiji—wanaume wa Sodoma kuanzia mvulana mpaka mzee, wote—wakaizingira nyumba hiyo wakiwa umati. 5 Nao walikuwa wakimwambia Loti kwa sauti: “Wako wapi wale wanaume waliokuja kwako usiku wa leo? Walete nje kwetu ili tufanye nao ngono.”+

  • Mambo ya Walawi 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Mwanamume akilala na mwanamume mwenzake kama vile mwanamume anavyolala na mwanamke, wote wawili wamefanya jambo linalochukiza.+ Ni lazima wauawe. Watakuwa na hatia kwa sababu ya vifo vyao wenyewe.*

  • Waroma 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 vivyo hivyo pia wanaume waliacha matumizi ya asili ya* mwanamke na kuwakiana tamaa kali za uchu wao kwa wao, wanaume kwa wanaume,+ wakitenda mambo machafu na kupokea ndani yao wenyewe adhabu* kamili, kwa sababu ya kosa lao.+

  • 1 Wakorintho 6:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Au je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi Ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe.* Waasherati,*+ waabudu-sanamu,+ wazinzi,+ wanaume wanaofanya ngono na wanaume,*+ 10 wezi, watu wenye pupa,+ walevi,+ watukanaji,* na wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mungu.+

  • Yuda 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Vivyo hivyo, watu wa Sodoma na Gomora na majiji ya karibu walifanya uasherati* wa kupindukia na kufuatilia tamaa za mwili zilizo kinyume cha maumbile;+ wamewekwa mbele yetu kama onyo kwa sababu walihukumiwa adhabu ya moto wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki