3 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ na hata akampitisha mwana wake mwenyewe katika moto,+ kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova aliyafukuza kwa sababu ya wana wa Israeli.
2 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kulingana na machukizo ya mataifa+ ambayo Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.