Kutoka 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Mtu yeyote anayelala na mnyama lazima atauawa.+ Mambo ya Walawi 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Nawe usimpe mnyama yeyote shahawa+ yako awe asiye safi kutokana nayo, na mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kuungana naye.+ Ni kuvunja jambo lililo la asili. Mambo ya Walawi 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Na mwanamume akimpa mnyama shahawa yake imtokayo,+ lazima auawe, nanyi mtamuua mnyama huyo.
23 “‘Nawe usimpe mnyama yeyote shahawa+ yako awe asiye safi kutokana nayo, na mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kuungana naye.+ Ni kuvunja jambo lililo la asili.